GARI ZA BEI NAFUU DAR ES SALAAM
GARI ZA BEI NAFUU DAR ES SALAAM; Soko la magari jijini Dar es Salaam limekua kwa kasi kubwa katika miaka ya hivi karibuni kutokana na ongezeko la uhitaji wa usafiri binafsi na ukuaji wa biashara za usafirishaji. Watu wengi hutafuta gari za bei nafuu, zenye ubora mzuri, matumizi kidogo ya mafuta, na gharama nafuu…