PATA PIKIPIKI KWA BEI NAFUU DAR ES SALAAM
Pata pikipiki kwa bei nafuu dar es salaam; Sekta ya usafiri kwa kutumia pikipiki ndogo (bodaboda) imekuwa muhimu sana katika jiji la Dar es Salaam na mikoa mingine nchini Tanzania. Kwa miaka ya karibuni, ongezeko la vijana wanaojiajiri kupitia bodaboda na huduma za delivery limefanya mahitaji ya pikipiki kuongezeka kwa kasi. Hii imeleta ushindani…